WAONE MHE. LOWASSA USO KWA USO NA MHE.SAMWELI SITTA LEO LIVE..HEBU SIKIA KAULI ZAO

Admin Updates9 years ago5 Views

Leo tumekutana na ndugu yangu
Mheshimiwa Samuel Sitta. Mimi na Sitta tumetoka mbali kikazi na kindugu.
Tumefanya kazi pamoja bungeni, ndani ya CCM na serikalini kwa mafanikio
makubwa.
Namtakia heri katika harakati zake
huku nikiamini kwa dhati kwamba uhusiano wetu ndiyo msingi wa umoja na
mshikamano ndani ya CCM na kwa taifa letu kwa siku zijazo.
Join Us
  • Facebook38.5K
  • X Network32.1K
  • linkedin12.6k
  • youtube23.4k
  • Instagram18.9K

Stay Informed With the Latest & Most Important News

I consent to receive newsletter via email. For further information, please review our Privacy Policy

Categories
Loading Next Post...
Follow
Sign In/Sign Up Search Trending 0 Cart
Popular Now
Loading

Signing-in 3 seconds...

Signing-up 3 seconds...

Cart
Cart updating

ShopYour cart is currently is empty. You could visit our shop and start shopping.