Waarabu wa Al Hilal Kufuru…Sasa Wamtaka Mbappe Kwa Mabilioni haya

Admin Updates1 year ago8 Views

 

Klabu ya Paris Saint-German imeruhusu Al Hilal ifanye mazungumzo na mshambuliaji #KylianMbappe baada ya kuweka mezani dau hilo ikiwa ni siku chache zimepita tangu itume barua ya kuhitaji saini ya nyota huyo
Mbappe aliyebakiza mwaka mmoja wa kuendelea kuitumikia #PSG, amedaiwa kutotaka kuongeza Mkataba Klabuni hapo, kitendo kilichotafsiriwa kuwa yuko tayari kuondoka huku akitajwa huenda akajiunga na #RealMadrid
Hata hivyo, licha ya dau hilo, Mbappe hajazungumza lolote au kuonesha kama ana mpango wa kwenda kucheza katika Ligi ya Saudi Arabia
Join Us
  • Facebook38.5K
  • X Network32.1K
  • linkedin12.6k
  • youtube23.4k
  • Instagram18.9K
Mchanganyiko
Loading Next Post...
Follow
Sign In/Sign Up Search Trending
Popular Now
Loading

Signing-in 3 seconds...

Signing-up 3 seconds...