Ur downfall is coming u bastard ungrateful broke fool!!
— Davido (@iam_Davido) January 6, 2015
Meneja wa Diamond, Salam aka ML Eight ameiambia Bongo5 kuwa hakuna ugomvi wowote uliopo kati ya mastaa hao na kwamba wako poa.
Niggas
forget who helped them ….. So quick …. God don bless me I do my thing
dey go keep my name out ur mouth !! WHO U DON HELP IDIOT!
— Davido (@iam_Davido) January 6, 2015
Uhusiano
kati ya mastaa hao wawili uliingia dosari siku ya fainali ya shindano
la Big Brother Africa ambapo baada ya Idris kushinda Davido alitweet
‘And They Cheat Again’ na Diamond ambaye usiku huo alishinda tuzo ya
TFA za Nigeria aliijibu kwa ujumbe wa kuibeza.
Kufuatia tweet hiyo ya Davido, watanzania wengi walimshambulia kwa matusi na kumtaka aombe radhi kitu ambacho aligoma kufanya.
Tangu
hapo, kumekupowepo na speculations kuwa uhusiano kati ya wawili hao
umevunjika na ndio maana imekuwa rahisi kwa wengi kuhusi tweet hizo za
jana zimemlenga Diamond.