Simba Watangaza Siku ya Kuadhimisha Simba Day

Masama BlogMICHEZO5 months ago224 Views

Klabu ya Simba SC imethibitisha kuwa tamasha la kihistoria la Simba Day 2025 litafanyika tarehe 10 Septemba 2025 katika Uwanja wa Benjamin Mkapa, Dar es Salaam.

Klabu imesema siku hiyo itakuwa ni fursa kwa WanaSimba na Watanzania wote kusherehekea pamoja kupitia burudani mbalimbali zitakazopatikana kwenye sherehe hizo.

Taarifa ya klabu inaongeza kuwa sherehe ya Simba Day ni tukio la kila mwaka linalolenga kuunganishwa na mashabiki wake pamoja na kutoa burudani ya aina mbalimbali kwa jamii.

0 Votes: 0 Upvotes, 0 Downvotes (0 Points)

Join Us
  • Facebook38.5K
  • X Network32.1K
  • linkedin12.6k
  • youtube23.4k
  • Instagram18.9K
Mchanganyiko
Loading Next Post...
Follow
Sign In/Sign Up Search Trending 0 Cart
Popular Now
Loading

Signing-in 3 seconds...

Signing-up 3 seconds...

Cart
Cart updating

ShopYour cart is currently is empty. You could visit our shop and start shopping.