SIMANZI: Ndege Mbili Zagongana Angani , Wawili Wafariki

Admin Updates1 year ago6 Views

Mwalimu na Mwanafunzi wa Shule ya Urubani wamefariki baada ya Ndege ndogo ya mafunzo kugongana na Ndege ya Abiria katika anga la Hifadhi ya Taifa ya #Nairobi na kusababisha Ndege ndogo kuanguka

Ndege kubwa, Dash 8 inayomilikiwa na #Safarilink Aviation iliyokuwa na abiria 39 pamoja na Wafanyakazi 5, ilikuwa ikielekea katika Mji wa #Diani ndipo Wafanyakazi waliporipoti mlipuko mkubwa muda mfupi baada ya kuruka kutoka Uwanja wa Ndege wa Wilson na kuamua kurudi
Mamlaka ya Anga ya Kenya imesema ajali hiyo imetokea Machi 5, 2024 majira ya Saa 4 asubuhi na Uchunguzi zaidi unaendelea
Join Us
  • Facebook38.5K
  • X Network32.1K
  • linkedin12.6k
  • youtube23.4k
  • Instagram18.9K

Stay Informed With the Latest & Most Important News

I consent to receive newsletter via email. For further information, please review our Privacy Policy

Categories
Loading Next Post...
Follow
Sign In/Sign Up Search Trending 0 Cart
Popular Now
Loading

Signing-in 3 seconds...

Signing-up 3 seconds...

Cart
Cart updating

ShopYour cart is currently is empty. You could visit our shop and start shopping.