SIKIA MANENO YA STEVE NYERERE BAADA YA MSANII WA KIKE WA FILAMU KUONDOKA UKAWA KUHAMIA CCM

Admin Updates9 years ago4 Views

Chuchu hans alitoroka na sasa hivi amerudi nyumbani sifa ya kwanza unapotimiza miaka 18 unaruhusiwa kwenda kujitegemea lakini ukiona maisha ni magumu baba ni baba na mama ni Mama kwa hiyo sio dhambi mtoto kurudi nyumbani na mimi kama Baba na Mama Samia tumempokea Chuchu Hans katika chama cha Mapinduzi’ – Steve Nyerere
‘Chuchu Hans mpaka sasa hivi ana siku ya tano tangu tumempokea na mganga siku zote haruhusiwi kusema kwamba nani alikuja na mimi kama Mwenyekiti wa Mama ongea na Mwao Tanzania siruhusiwi kusema  wangapi wanahitaji kuja katika chama cha Mapinduzi lakini viashiria vinaonesha wangapi wanahitaji kurudi’– Steve Nyerere
.
‘Kwa hiyo Chuchu Hans kafungua milango kama Mwanamke jasiri kurudi kwa Mama yao na kaamua kurudi kwa Dkt John Pombe Magufuli sasa si dhambi hata kwa hao wengi wakiamua kurudi nyumbani huku hakuna yale maandamano, kwa hiyo ninachotaka kusema ukitaka kuishi kwa Amani cha kwanza kabisa ni lazima ujitambue na ndio maana Chuchu Hans kajitambua’ – Steve Nyerere
‘Lakini mimi nataka niwaambia wasanii wenzangu tusipotoke na hayo yansyokuja ni mchanganuo  baada ya wenzetu wakiapishwa maisha mengine yanaendelea isije kutokea tukachukua tukashindwa kufanya kazi zetu huko kwenye kazi za uigizaji naomba nilisisitize hilo’ – Steve Nyerere
Join Us
  • Facebook38.5K
  • X Network32.1K
  • linkedin12.6k
  • youtube23.4k
  • Instagram18.9K

Stay Informed With the Latest & Most Important News

I consent to receive newsletter via email. For further information, please review our Privacy Policy

Categories
Loading Next Post...
Follow
Sign In/Sign Up Search Trending 0 Cart
Popular Now
Loading

Signing-in 3 seconds...

Signing-up 3 seconds...

Cart
Cart updating

ShopYour cart is currently is empty. You could visit our shop and start shopping.