RC Rosemary Senyamule afungua Mkutano wa Baraza la Wafanyakazi PPRA

Admin Updates1 year ago6 Views

Mkuu wa mkoa wa Dodoma Mhe.Rosemary Senyamule amefungua mkutano wa Nne wa Baraza la wafanyakazi wa Mamlaka ya udhibiti na ununuzi wa Umma (PPRA) Leo tarehe 24 Aprili 2024 katika ukumbi wa Mamlaka wa PPRA Jijini Dodoma.

Mkutano huo una lengo la kubadilishana uzoefu na kuweka mikakati ya kuimarisha ushirikiano na kuongeza ufanisi katika kazi.
Katika mkutano huo uliowasilisha hoja ya shughuli zilizopangwa kufanyika ikiwemo taarifa za utekelezaji wa majukumu ya idara na vitengo vya Mamlaka kwa Mwaka 2023/2024 Kwa kipindi cha kuanzia Julai 2023 hadi Machi 2024 pamoja na mwelekeo wake kwa mwaka 2024/2025.
Pia Mkutano huo umejadili taarifa ya mpango wa bajeti inayopendekezwa kwa waka 2024/2025 Pamoja na masuala ya watumishi kutoka TUGHE.

Join Us
  • Facebook38.5K
  • X Network32.1K
  • linkedin12.6k
  • youtube23.4k
  • Instagram18.9K

Stay Informed With the Latest & Most Important News

I consent to receive newsletter via email. For further information, please review our Privacy Policy

Categories
Loading Next Post...
Follow
Sign In/Sign Up Search Trending 0 Cart
Popular Now
Loading

Signing-in 3 seconds...

Signing-up 3 seconds...

Cart
Cart updating

ShopYour cart is currently is empty. You could visit our shop and start shopping.