Mkuu wa mkoa wa Dodoma Mhe.Rosemary Senyamule amefungua mkutano wa Nne wa Baraza la wafanyakazi wa Mamlaka ya udhibiti na ununuzi wa Umma (PPRA) Leo tarehe 24 Aprili 2024 katika ukumbi wa Mamlaka wa PPRA Jijini Dodoma.

Mkutano huo una lengo la kubadilishana uzoefu na kuweka mikakati ya kuimarisha ushirikiano na kuongeza ufanisi katika kazi.
Katika mkutano huo uliowasilisha hoja ya shughuli zilizopangwa kufanyika ikiwemo taarifa za utekelezaji wa majukumu ya idara na vitengo vya Mamlaka kwa Mwaka 2023/2024 Kwa kipindi cha kuanzia Julai 2023 hadi Machi 2024 pamoja na mwelekeo wake kwa mwaka 2024/2025.
Pia Mkutano huo umejadili taarifa ya mpango wa bajeti inayopendekezwa kwa waka 2024/2025 Pamoja na masuala ya watumishi kutoka TUGHE.
Recommended Products
-
2025 Summer Rapper Feid Ferxxo Men’s Cotton Fashion Hip-hop T-shirt Casual and Comfortable Short-sleeved T-shirt Street Wear
Affliate products $22.00 -
3 IN 1 Magnetic Folding Wireless Charger Station For IPhone Transparent Fast Charging For IWatch And Airpods
Affliate products -
Grandpa Of Love hoodies Human French Letters Dad Papa Papy Gift Men Clothing hoodies
Affliate products $22.00 -
Sale!
Lenovo D18 Drone 8K Aerial HD Dual-Camera Intelligent Obstacle Avoidance Brushless Power 5G WIFI Screen Remote Control GPS Drone
Affliate products Original price was: $7.99.$7.89Current price is: $7.89. -
Mini Portable Face Cordless Shavers Rechargeable USB Electric Shaver Wet & Dry Painless Small Size Machine Shaving For Men
Affliate products $44.00 -
New Original T75 Bone Conduction Wireless Bluetooth 5.3 Headphones Sports Earphones HiFi Sound Quality Waterproof TWS Headset
Affliate products $3.33








