Msanii
Tunda Man kutoka Tip Top connection inasemakana kwamba ana mahusiano ya
kimapenzi na msichana ambaye aliwahi kuwa na uhusiano na msanii wa
Yamoto Band, Dogo Aslay ambapo anajulikana kwa jina Najma
Mtangazaji
wa Soudy Brown kutoka Clods Fm alimtafuta Tunda ambaye alikanusha
mahasiano yake na mrembo huyo na wakati akifanya mahojiano hayo
alilalamika kwamba jana usiku aliibiwa vitu kadhaa katika gari yake
aliyokuwa amepaki nje ya nyumba yake