Cris Brown akiwa Klabu 1OAK kabla ya vurugu kutokea.
MWIMBAJI Cris Brown amenusurika kuuawa katika shambulio la risasi
ndani ya klabu ya usiku jijini Los Angeles ambapo prodyuza Suge Knight
amejeruhiwa.
Tukio hilo limetokea usiku wa kuamkia leo katika klabu ya usiku
iitwayo 1OAK iliyopo magharibi mwa Hollywood wakati wa shoo iliyokuwa
ikiongozwa na Cris Brown kabla ya zoezi la utoaji Tuzo za VMA ambapo
watu watatu wamejeruhiwa mmoja akiwa mahututi.
Suge Knight alipigwa risasi mara mbili tumboni na mkononi na kukimbizwa hospitali ambapo anaendelea na matibabu.
Mastaa wengine waliokuwepo kwenye klabu hiyo wakati tukio hilo
likitokea ni pamoja na Justin Bieber, rappa The Game, Pia Mia, Tyson
Beckford, Robert Ri’chard na wengineo.
Indaiwa mlengwa mkuu katika shambulio hilo alikuwa Cris Brown.
Recommended Products
-
2025 Summer Rapper Feid Ferxxo Men’s Cotton Fashion Hip-hop T-shirt Casual and Comfortable Short-sleeved T-shirt Street Wear
Affliate products $22.00 -
3 IN 1 Magnetic Folding Wireless Charger Station For IPhone Transparent Fast Charging For IWatch And Airpods
Affliate products -
Grandpa Of Love hoodies Human French Letters Dad Papa Papy Gift Men Clothing hoodies
Affliate products $22.00 -
Sale!
Lenovo D18 Drone 8K Aerial HD Dual-Camera Intelligent Obstacle Avoidance Brushless Power 5G WIFI Screen Remote Control GPS Drone
Affliate products Original price was: $7.99.$7.89Current price is: $7.89. -
Mini Portable Face Cordless Shavers Rechargeable USB Electric Shaver Wet & Dry Painless Small Size Machine Shaving For Men
Affliate products $44.00 -
New Original T75 Bone Conduction Wireless Bluetooth 5.3 Headphones Sports Earphones HiFi Sound Quality Waterproof TWS Headset
Affliate products $3.33








