MPYAA: Mlinzi wa Kulia wa Yanga SC, Djuma Shabani Amejiunga na TP Mazembe

Admin Updates1 year ago5 Views

 Mlinzi wa Kulia Djuma Shabani amejiunga na Tp Mazembe ya nyumbani kwao DR Congo, ndoa ya Yanga SC na Djuma Shabani imevunjika bado taarifa tu .

Djuma hadi anasaini TP Mazemve hakukuwa na timu ya hapa nyumbani iliyokuwa na mahitaji na huduma yake kikubwa kikichangiwa na Kima cha mshahara wake kuwa kikubwa, kwa hivyo timu nyingi zimeogopa
Join Us
  • Facebook38.5K
  • X Network32.1K
  • linkedin12.6k
  • youtube23.4k
  • Instagram18.9K
Mchanganyiko
Loading Next Post...
Follow
Sign In/Sign Up Search Trending
Popular Now
Loading

Signing-in 3 seconds...

Signing-up 3 seconds...