Mfanyakazi wa Benki Awaua Wafanyakazi Wenzake Watano Kwa Kuwapiga Risasi,Jionee Hapa

Admin Updates2 years ago5 Views

 

Mfanyakazi wa Benki ya Old City Bank iliyopo Louisville, Kentucky nchini Marekani amewaua kwa kuwapiga risasi wafanyakazi wenzake watano wa benki hiyo huku wengine 9 wakijeruhiwa ambapo alikuwa akijirekodi na kurusha tukio zima mubashara kupitia akaunti yake ya Instagram.

Aliyefanya tukio hilo, anatajwa kuwa ni Connor Sturgeon (25) ambaye siku chache zilizopita, alipewa taarifa kwamba atafukuzwa kazi.
Polisi wameeleza kuwa mtuhumiwa alikuwa akitumia bunduki aina ya AR-15-style ambapo polisi walifika haraka eneo la tukio na kujaribu kumdhibiti lakini ikashindikana ndipo walipoamua kumpiga risasi na kumuua.
Kampuni ya Meta inayomiliki Instagram, imeifuta video ya tukio hilo, muda mfupi baadaye.

Join Us
  • Facebook38.5K
  • X Network32.1K
  • linkedin12.6k
  • youtube23.4k
  • Instagram18.9K

Stay Informed With the Latest & Most Important News

I consent to receive newsletter via email. For further information, please review our Privacy Policy

Categories
Loading Next Post...
Follow
Sign In/Sign Up Search Trending 0 Cart
Popular Now
Loading

Signing-in 3 seconds...

Signing-up 3 seconds...

Cart
Cart updating

ShopYour cart is currently is empty. You could visit our shop and start shopping.