Baraza la Sanaa la Taifa (BASATA) limesema kama kuna msanii ambaye hajaridhishwa na mchakato wa tuzo za Tanzania (TMA) basi afike BASATA na ataoneshwa hatua zote za upembuzi zilizomtoa katika mchakato wa tuzo.
Akizungumza na TBC mratibu wa tuzo za TMA, Mrisho Mrisho kutoka BASATA wakati akijibu malalamiko ya msanii Mbosso ambaye hivi karibuni aliandika katika ukurasa wake wa Instagram akishangaa kwanini EP yake ya ‘Khan EP’ haijaingizwa kwenye EP bora ya mwaka, amesema unapoweka albamu unaichia jopo lifanye tathmini na yenyewe ndiyo itakayotoa maamuzi.
“Maamuzi hayo sasa si ya Mbosso kusema kwamba mimi EP yangu ni bora kuliko..,hapana usidharau kazi ya wengine, wasanii wote wanafanya kazi,” amesema.
Hata hivyo Mrisho amemkaribisha msanii huyo kufika katika ofisi za BASATA ili kufunguliwa akaunti na kuoneshwa mfumo mzima wa mchakato wa tuzo hizo.
.
Recommended Products
-
2025 Summer Rapper Feid Ferxxo Men’s Cotton Fashion Hip-hop T-shirt Casual and Comfortable Short-sleeved T-shirt Street Wear
Affliate products $22.00 -
3 IN 1 Magnetic Folding Wireless Charger Station For IPhone Transparent Fast Charging For IWatch And Airpods
Affliate products -
Grandpa Of Love hoodies Human French Letters Dad Papa Papy Gift Men Clothing hoodies
Affliate products $22.00 -
Sale!
Lenovo D18 Drone 8K Aerial HD Dual-Camera Intelligent Obstacle Avoidance Brushless Power 5G WIFI Screen Remote Control GPS Drone
Affliate products Original price was: $7.99.$7.89Current price is: $7.89. -
Mini Portable Face Cordless Shavers Rechargeable USB Electric Shaver Wet & Dry Painless Small Size Machine Shaving For Men
Affliate products $44.00 -
New Original T75 Bone Conduction Wireless Bluetooth 5.3 Headphones Sports Earphones HiFi Sound Quality Waterproof TWS Headset
Affliate products $3.33







