Mchezaji Ibra Bacca Sasa ni Sajenti, Apandishwa Cheo na Jeshi Zanzibar

Admin Updates2 months ago7 Views

 Mchezaji Ibra Bacca Sasa ni Sajenti, Apandishwa Cheo na Jeshi Zanzibar

Mchezaji wa Yanga SC, Ibrahim Hamad #IbraBacca, amepewa heshima kubwa baada ya Kikosi Maalumu cha Kuzuia Magendo (KMKM) #Zanzibar kumpandisha cheo kutoka Koplo hadi Sajenti.
Taarifa hii imetangazwa rasmi na klabu ya #Yanga, wakimpongeza Bacca kwa juhudi na mchango wake uwanjani. Kupandishwa cheo kunathibitisha sio tu uwezo wake katika soka, bali pia nidhamu na bidii alizoonyesha kama mwanajeshi wa KMKM.
Mashabiki wa Yanga na wapenzi wa soka wameendelea kumpongeza kwa mafanikio haya, wakiamini kuwa hatua hii itampa motisha zaidi kuendelea kung’aa ndani ya kikosi cha Wananchi.
Join Us
  • Facebook38.5K
  • X Network32.1K
  • linkedin12.6k
  • youtube23.4k
  • Instagram18.9K

Stay Informed With the Latest & Most Important News

I consent to receive newsletter via email. For further information, please review our Privacy Policy

Categories
Loading Next Post...
Follow
Sign In/Sign Up Search Trending 0 Cart
Popular Now
Loading

Signing-in 3 seconds...

Signing-up 3 seconds...

Cart
Cart updating

ShopYour cart is currently is empty. You could visit our shop and start shopping.