MASTAA HAWA WAJIWEKA KITANZINI BAADA YA VIDEO IKIONYESHA WANAVUTA BANGI KUVUJA.

Admin Updates11 years ago4 Views

one

Wakati wakiwa kwenye ziara yao nchini Peru, Nyota wa kundi la One
Direction Zayn Malik na Louis Tomlinson wameonekana wakivuta bangi
wakiwa njiani na tukio hilo kuvuja kwa njia ya video hali iliyopeleka
baadhi ya mashabiki wa shoo yao kuchoma moto tiketi za ziara hiyo.

one2

Chombo kimoja cha habari kimefanikiwa kuidaka video hiyo ya dakika 5
ikionyesha nyota hao wakivuta bangi na kuongea maneno yaliyowakera
baadhi ya mashabiki wao.

one3

Baadhi ya mashabiki walikasirishwa sana na kipande cha video hiyo na
kuwazungumzia mastaa hao kuwa hawajali mashabiki wao ambao wengi ni
vijana na kuwafundisha tabia zisizofaa huku wengine wakiweka picha
mitandaoni wakiwa wanachoma tiketi za shoo hiyo.

0 Votes: 0 Upvotes, 0 Downvotes (0 Points)

Join Us
  • Facebook38.5K
  • X Network32.1K
  • linkedin12.6k
  • youtube23.4k
  • Instagram18.9K

Stay Informed With the Latest & Most Important News

I consent to receive newsletter via email. For further information, please review our Privacy Policy

Categories
Loading Next Post...
Follow
Sign In/Sign Up Search Trending 0 Cart
Popular Now
Loading

Signing-in 3 seconds...

Signing-up 3 seconds...

Cart
Cart updating

ShopYour cart is currently is empty. You could visit our shop and start shopping.