Sasa kwa kipindi kama cha mwaka mmoja hivi…da, baba watoto kwa kweli
ana underperform kabisa….wakati mwingine inapita wiki nzima, sionji na
mimi mwanamke huwa nahitaji…nikimwambia anasema nimechoka sana
kazini. Kwa heshima niliyo nayo kwa mume wangu, huwa namwambia sawa,
lakini moyoni huwa nabaki na maswali mengi kuliko majibu. Huwa nahisi
moja kati ya mambno haya:
1. Huenda mume wangu ameanza mambo ya nyumba ndogo, so akitoka kazini
huenda anamalizia huko huko then akirudi nyumbani anakuwa hoi
2. Labda umbile langu limemchosha, coz kabla hatujaoana nilikuwa na
bambataa ya wastani na kiuno chembamba, lakini now sio utani, nyonga
imebaki vile vile lakini makalio yameongezeka mara-dufu, so huwa hafikii
pale “Dar es Salaam” kisawasawa
Haya yoye ni mawazo yangu ambayo ninayo moyoni. Sasa sijajua kama
nimuulize au na mimi nianze kupiga show za nje kwani wanaonitongoza
nikiwapanga kuanzia Dar, basi watafika hadi Morogoro……tatizo
nampenda baba watoto na nimempa muda wa kama miezi 6 hivi, kama
hatobadilika, basi nita-confirm namba moja ya hapo juu….So na mimi
nitaanzia kutafuta wa kurusha nae roho.
Naomba mnisaidie what to do at the moment.