Diamond
na Davido wana beef? Hili ni swali ambalo watu wengi bado hawajapata
jibu lake hasa baada ya wiki hii Davido kutweet maneno yaliyohisiwa kuwa
yanamlenga Diamond.
na Davido wana beef? Hili ni swali ambalo watu wengi bado hawajapata
jibu lake hasa baada ya wiki hii Davido kutweet maneno yaliyohisiwa kuwa
yanamlenga Diamond.
Akizungumza
kwenye kipindi cha XXL cha Clouds FM Ijumaa hii, meneja wa Diamond,
Babu Tale amesema Diamond na Davido sio washkaji ila wana mahusiano ya
kibiashara tu.
kwenye kipindi cha XXL cha Clouds FM Ijumaa hii, meneja wa Diamond,
Babu Tale amesema Diamond na Davido sio washkaji ila wana mahusiano ya
kibiashara tu.
“Hakuna vita mimi na menejimenti ya Davido, Tunaongea,” amesema Tale.
“Hapa
ninaweza nikakuonesha meseji za mimi na Kamala ambaye ni meneja wa
Davido. Nikinukuu maneno ya Kamala kwangu ile meseji ambayo Davido
aliposti ya kwanza hakuwa anamface Diamond according to Kamala.
Akaniambia mbona ‘watanzania wameelewa vibaya’ nikamwambia ‘tuliache
hili limepita na limeshatokea hatuwezi kuwaambia bana Davido hajaongea
hivi kwa maana hii, tutafute njia nyingine ambayo Davido anaweza
akasehewa na Watanzania,” ameongeza Tale.
ninaweza nikakuonesha meseji za mimi na Kamala ambaye ni meneja wa
Davido. Nikinukuu maneno ya Kamala kwangu ile meseji ambayo Davido
aliposti ya kwanza hakuwa anamface Diamond according to Kamala.
Akaniambia mbona ‘watanzania wameelewa vibaya’ nikamwambia ‘tuliache
hili limepita na limeshatokea hatuwezi kuwaambia bana Davido hajaongea
hivi kwa maana hii, tutafute njia nyingine ambayo Davido anaweza
akasehewa na Watanzania,” ameongeza Tale.
“Lakini
sitaki kuamini kama Davido na Diamond wana vita. Juzi Davido alikuwa
anaposti vitu vyake sio kwa sababu ya Diamond. Watanzania wote washaanza
kusema ‘oooh Davido ashaanza kumtukana Diamond’. Nikwambie kitu kimoja
Diamond hata baada ya kufanya ile video huwaga hawachati, Diamond
akimtaka Davido ataniambia mimi au atamwambia Salam au Kamala.”
sitaki kuamini kama Davido na Diamond wana vita. Juzi Davido alikuwa
anaposti vitu vyake sio kwa sababu ya Diamond. Watanzania wote washaanza
kusema ‘oooh Davido ashaanza kumtukana Diamond’. Nikwambie kitu kimoja
Diamond hata baada ya kufanya ile video huwaga hawachati, Diamond
akimtaka Davido ataniambia mimi au atamwambia Salam au Kamala.”
Recommended Products
-
2025 Summer Rapper Feid Ferxxo Men’s Cotton Fashion Hip-hop T-shirt Casual and Comfortable Short-sleeved T-shirt Street Wear
Affliate products $22.00 -
3 IN 1 Magnetic Folding Wireless Charger Station For IPhone Transparent Fast Charging For IWatch And Airpods
Affliate products -
Grandpa Of Love hoodies Human French Letters Dad Papa Papy Gift Men Clothing hoodies
Affliate products $22.00 -
Sale!
Lenovo D18 Drone 8K Aerial HD Dual-Camera Intelligent Obstacle Avoidance Brushless Power 5G WIFI Screen Remote Control GPS Drone
Affliate products Original price was: $7.99.$7.89Current price is: $7.89. -
Mini Portable Face Cordless Shavers Rechargeable USB Electric Shaver Wet & Dry Painless Small Size Machine Shaving For Men
Affliate products $44.00 -
New Original T75 Bone Conduction Wireless Bluetooth 5.3 Headphones Sports Earphones HiFi Sound Quality Waterproof TWS Headset
Affliate products $3.33






