Makamu wa Rais Dk.Mpango Atoa Onyo Ndoa za Jinsia Moja Afunguka asema ” Hata Wanyama Hawafanyi Hivyo”

Admin Updates2 years ago4 Views

 Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Philip Mpango Ametoa wito kwa Wazazi na walezi kuwalea watoto kwa kuzingatia Maadili ya Kitanzania na kuongeza umakini katika Maadhui wanayoangalia watoto kwenye Televisheni.

Akizungumza na Waumini wa kijiji cha Kasumo mkoani Kigoma mara baada ya kushiriki Ibada ya kawaida ya katikati ya Wiki katika Kanisa Katoliki Parokia ya Bikra Maria #DktMpango Amesema kuwa Maadili ya Kitanzania kwa sasa yameporomoka kwa kiasi kikubwa sana na kushangazwa na vitendo vya Ndoa ya Jinsi Moja .

DktMpina Amesema …. “Ndoa za wanaume wawili,Ndoa za Wanawake wawili mliziona wapi? hata wanyama hawafanyi hivi kwahiyo niwasihi sana mchague watoto/vijana wanaangalia nini kwenye Televisheni vinginevyo tutakuwa na Taifa la Ajabu”

.

Join Us
  • Facebook38.5K
  • X Network32.1K
  • linkedin12.6k
  • youtube23.4k
  • Instagram18.9K

Stay Informed With the Latest & Most Important News

I consent to receive newsletter via email. For further information, please review our Privacy Policy

Categories
Loading Next Post...
Follow
Sign In/Sign Up Search Trending 0 Cart
Popular Now
Loading

Signing-in 3 seconds...

Signing-up 3 seconds...

Cart
Cart updating

ShopYour cart is currently is empty. You could visit our shop and start shopping.