MABASI 58 YA MWENDOKASI YAONDOLEWA BARABARANI

Special Correspondent6 years ago6 Views

Wakala wa Mabasi Yaendayo Haraka (Dart), imesema kuna uhaba wa mabasi yanayotoa huduma na kusababisha usumbufu kwa watumiaji wa usafiri huo.

Taarifa iliyotolewa leo, Jumatano Aprili 10, 2019 kwa vyombo vya habari  na Meneja Uhusiano wa Umma wa Dart, William Gatambi imesema uhaba huo unatokana na mabasi hayo kupata hitilafu mbalimbali.

“Idadi ya mabasi yanayotoa huduma leo katika mfumo wa Dart ni 85, huku 58 yakifanyiwa matengenezo makubwa na madogo.

“Tunawaomba wateja wetu kuwa na subira wakati mabasi hayo yakifanyiwa matengenezo. Tunawaomba radhi kwa usumbufu unaojitokeza,”amesema Gatambi.


from CCM Blog http://bit.ly/2KrNLNb
via

0 Votes: 0 Upvotes, 0 Downvotes (0 Points)

Previous Post

Next Post

Join Us
  • Facebook38.5K
  • X Network32.1K
  • linkedin12.6k
  • youtube23.4k
  • Instagram18.9K
Mchanganyiko
Loading Next Post...
Follow
Sign In/Sign Up Search Trending
Popular Now
Loading

Signing-in 3 seconds...

Signing-up 3 seconds...