Picha hii ya Madam imeibua komenti kabao huku wengine wakisifia na
kutoa vijembe kwa wale wanaochonga sana kuhusu madam, huku wengine
wakiendelea kuponda kuwa madamu anajifariji tu kutokana na kile
wanachodai kuwa mapigo ya Diamond na Zari yanampeleka puta.
Nimnyukano tu wamaneno unaoendelea huko Insta baina ya team hizo mbili.
Wale wajuzi hebu fungukeni hiyo pete ni yauchumba au? Kama ni kweli basi
tumpongeze madam kwa hatua hiyo, kuhusu nani amemvisha hata mimi sijui.