Orodha hiyo haijawajumuisha mastaa wa Afrika wanaoishi nje ya bara hilo akiwemo Akon na Lupita Nyong’o na badala yake imejumuisha wale ambao shughuli zao wanazifanyia hapa hapa Afrika.
Hii ndio orodha ya mastaa 20 wenye followers wengi zaidi kwenye mtandao wa Instagram (idadi ya followers ni kwa mujibu wa June 8, 2015.
1. @davidoofficial – 811k (Nigeria)

2. @wizkidayo – 751k (Nigeria)
3. @diamondplatnumz – 711k (Tanzania)
4. @wemasepetu – 652k (Tanzania)
5. @donjazzy – 568k (Nigeria)
6. @genevievennaji – 561k (Nigeria)
7. @ynonnenelsongh – 519k (Ghana)
8. @millardayo – 514k (Tanzania)
9. @iceprincezamani – 509k (Nigeria)
10. @officialtiwasavage – 484k (Nigeria)
11. @vanessamdee – 473k (Tanzania)
12. @jokatemwegelo – 470k (Tanzania)
13. @wolperstylish – 464k (Tanzania)
14. @zarithebosslady – 443k (Uganda)
15. @minniedlamini – 426k (South Africa)
16. @new_kajala – 424k (Tanzania)
17. @bonang_m – 416k (South Africa)
18. @shilolekiuno – 417k (Tanzania)
19. @ommydimpoz – 410k (Tanzania)
20. @peterpsquare – 402k (Nigeria)