Mkuu wa Kitengo cha Habari na Mawasiliano wa Wakala wa Barabara za Mijini na Vijijini (TARURA) Bi Catherine Sungura akiwasikiliza Wageni mbalimbali huku akiwapa taarifa na elimu kuhusu mambo mablimbali yanayofanywa na TARURA walipotembelea banda la maonesho la TARURA katika maadhimisho ya Wiki ya Anwani za Makazi, Wiki iliyopita terehe 07 Februari, 2025 yaliyofanyika ukumbi wa Jakaya Kikwete Convention Centre jijini Dodoma.