Rais Mstaafu wa awamu ya nne wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Jakaya Mrisho Kikwete akiambatana na mwanaye Miraji Jakaya Kikwete wakiwasili kwenye kituo cha Treni ya Mwendokasi SGR Jijini Dar es Salaam wakati alipouwa anaelekea Jijini Dodoma kwenye Maadhimisho ya Miaka 48 ya kuzaliwa kwa Chama Cha Mapinduzi yaliyofanyika kwenye uwanja wa Jamhuri jijini Dodoma wiki iliyopita,Wengine waliomsindikiza Rais huyo wa awamu ya nne na Mwenyekiti Mstaafu wa CCM ni Bw.Masanja Kadogosa ambaye ni Mkurugenzi mkuu wa Shirika la Reli Tanzania (TRC) pamoja na maafisa wengine wa Chama Cha Mapinduzi.
Recommended Products
-
2025 Summer Rapper Feid Ferxxo Men’s Cotton Fashion Hip-hop T-shirt Casual and Comfortable Short-sleeved T-shirt Street Wear
Affliate products $22.00 -
3 IN 1 Magnetic Folding Wireless Charger Station For IPhone Transparent Fast Charging For IWatch And Airpods
Affliate products -
Grandpa Of Love hoodies Human French Letters Dad Papa Papy Gift Men Clothing hoodies
Affliate products $22.00 -
Sale!
Lenovo D18 Drone 8K Aerial HD Dual-Camera Intelligent Obstacle Avoidance Brushless Power 5G WIFI Screen Remote Control GPS Drone
Affliate products Original price was: $7.99.$7.89Current price is: $7.89. -
Mini Portable Face Cordless Shavers Rechargeable USB Electric Shaver Wet & Dry Painless Small Size Machine Shaving For Men
Affliate products $44.00 -
New Original T75 Bone Conduction Wireless Bluetooth 5.3 Headphones Sports Earphones HiFi Sound Quality Waterproof TWS Headset
Affliate products $3.33







