Christiano Ronaldo Afungiwa,Sababu ni Hii Hapa

Admin Updates1 year ago8 Views

 

Shirikisho la soka nchini Saudi Arabia limemfungia mchezo mmoja nyota wa klabu ya Al-Nassr, Cristiano Ronaldo kufuatia aina ya ushangiliaji wake alipoifunga timu ya Al-Shabab.
Ronaldo alifanya kitendo hicho baada ya kuwasikia mashabiki wa Al-Shabab wakiimba kwa kulitaja jina la mshambuliaji wa klabu ya Inter Miami, Lionel Messi.
Katika mchezo huo Al-Nassr iliibuka na ushindi wa mabao 3-2 dhidi ya Al-Shabab.

Join Us
  • Facebook38.5K
  • X Network32.1K
  • linkedin12.6k
  • youtube23.4k
  • Instagram18.9K
Mchanganyiko
Loading Next Post...
Follow
Sign In/Sign Up Search Trending
Popular Now
Loading

Signing-in 3 seconds...

Signing-up 3 seconds...