ANGALIA PICHA ZA MSANII ROSE NDAUKA AKISHEREHEKEA BIRTHDAY YAKE..NI KUFURUU,ONA HAPAA LIVE

Admin Updates10 years ago5 Views

Usiku
wa kuamkia leo ulikuwa ni usiku wa furaha kwa staa wa Filamu Bongo,
Rose Ndauka, kwani aliweza kusheherekea siku yake ya kuzaliwa na baadhi
ya mastaa wenzake waliyofurika ndani ya Hoteli ya Collossium iliyopo
maeneo ya Kamata Mnazi mmoja jijini Dar es Salaam.



Rose
Ndauka (kushoto), akimlisha kipande cha keki rafiki yake mpendwa Jack
Pentzel, muda mfupi baada ya zoezi la kulishana keki kuanza kwenye
sherehe yake ya kuzaliwa iliyofanyika usiku wa kuamkia leo ndani ya
Ukumbi wa Collosseum Hoteli Kamata Mnazi mmoja jijini Dar es Salaam.

Rose Ndauka na baadhi ya waarikwa wakigonga chairs mara baada ya kufungua shampeni iliyokuwa imeandaliwa kwenye sherehe hiyo.
(Habari/Picha: Musa Mateja/GPL)

0 Votes: 0 Upvotes, 0 Downvotes (0 Points)

Join Us
  • Facebook38.5K
  • X Network32.1K
  • linkedin12.6k
  • youtube23.4k
  • Instagram18.9K

Stay Informed With the Latest & Most Important News

I consent to receive newsletter via email. For further information, please review our Privacy Policy

Categories
Loading Next Post...
Follow
Sign In/Sign Up Search Trending 0 Cart
Popular Now
Loading

Signing-in 3 seconds...

Signing-up 3 seconds...

Cart
Cart updating

ShopYour cart is currently is empty. You could visit our shop and start shopping.