- Home
-
- ANGALIA MASTAA WA BONGO WALIOONGOZA KUVAA NGUO ZISIZO NA MAADILI KWENYE BIRTHDAY YA DIAMOND
ANGALIA MASTAA WA BONGO WALIOONGOZA KUVAA NGUO ZISIZO NA MAADILI KWENYE BIRTHDAY YA DIAMOND

Ikiwa
ni masaa kadhaa tu baada ya msanii Diamond Platnumz kusherekea siku
yake ya kuzaliwa akifikisha umri wa miaka 25 toka azaliwa mpaka
sasa,lakini siku ya jana ilikuwa kufuru kwa baadhi ya mstaa kama Wema
Sepetu pamoja na wengine kwa kuvaa ngup zenye kuonyesha mapaja yao,
nimekukusanyia hapa picha zote za mastaa hao akiwamo Hit maker wa single
ya Hawajui Vanessa Mdee hizi hapa
0 Votes: 0 Upvotes, 0 Downvotes (0 Points)
Stay Informed With the Latest & Most Important News