Askofu Desmond Tutu kuzikwa Januari Mosi mjini Cape Town

Admin Updates3 years ago6 Views

Mwanaharakati wa muda mrefu dhidi ya ubaguzi wa rangi nchini Afrika Kusini Askofu Desmond Tutu aliyeaga dunia jana Jumapili atazikwa mnamo Januari Mosi mwaka 2022 katika mji wa Cape Town.

Taarifa hiyo imetolewa na wakfu wa kiongozi huyo wa kidini ambaye pia ni mshindi wa tuzo ya amani ya Nobel aliyotunukiwa mwaka 1984 kutokana na dhima ya kupinga ubaguzi wa rangi chini ya utawala wa wazungu wachache nchini Afrika Kusini.

Wakfu wake umesema matayarisho yanafanyika kwa ajili ya wiki nzima ya maombolezo na kutoa salamu za mwisho kwa mwili wa mwanaharakati huyo aliyeheshimika duniani kabla ya mazishi mjini Cape

 

0 Votes: 0 Upvotes, 0 Downvotes (0 Points)

Join Us
  • Facebook38.5K
  • X Network32.1K
  • linkedin12.6k
  • youtube23.4k
  • Instagram18.9K

Stay Informed With the Latest & Most Important News

I consent to receive newsletter via email. For further information, please review our Privacy Policy

Categories
Loading Next Post...
Follow
Sign In/Sign Up Search Trending 0 Cart
Popular Now
Loading

Signing-in 3 seconds...

Signing-up 3 seconds...

Cart
Cart updating

ShopYour cart is currently is empty. You could visit our shop and start shopping.