Taifa la Saudi Arabia Litapindisha Sheria ya Ndoa Kisa Christiano Ronaldo na Mkewe

Admin Updates2 years ago7 Views

 

Taifa la Saudi Arabia litapindisha sheria yake kali ya ndoa kisa nyota Cristiano Ronaldo ambapo imeelezwa kuwa ataruhusiwa kuishi pamoja na mpenzi wake, Georgina Rodriguez.
Sheria ya ndoa ya nchini Saudi Arabia inakataza vikali wapenzi wawili ambao bado hawajafunga ndoa, kuishi pamoja. CR7 amejiunga na Klabu ya Al Nassr ambayo inashiriki Ligi Kuu nchini humo.
Join Us
  • Facebook38.5K
  • X Network32.1K
  • linkedin12.6k
  • youtube23.4k
  • Instagram18.9K
Mchanganyiko
Loading Next Post...
Follow
Sign In/Sign Up Search Trending
Popular Now
Loading

Signing-in 3 seconds...

Signing-up 3 seconds...