HAYA HAPA MADHARA YA KUCHAJI SIMU USIKU KUCHA…NI HATARI SANA SOMA HAPA

Admin Updates2 years ago6 Views

Tabia ya watu kupenda kuchaji simu zao wakati wa usiku au kuacha simu kwenye chaji muda mrefu Kuna madhara Gani yanapatikana ? Je kutaweza kuua Betri LA Simu ? 

Najua watu wengi mmesikia stori tofauti Tofauti Kwa watu wengine wanakuambia kuchaji simu usiku kucha ni hatari utaweza kuhalibu Betri ya simu na kupelekea kufa kabisaTeknolojia ya betri zimekua imara Sana sio kama miaka ya nyuma.

Smartphone zimeundwa na kuwekewa ulinzi ili kufanya Betri pamoja na vifaa vingine kuwa salama.jambo linalopeleka simu Yako kufa haraka ni simu kupata sana joto Kupita kiasi ni hatari kwa afya ya simu.

ENDELEA  KUSOMA ZIDI HAPA

Join Us
  • Facebook38.5K
  • X Network32.1K
  • linkedin12.6k
  • youtube23.4k
  • Instagram18.9K

Stay Informed With the Latest & Most Important News

I consent to receive newsletter via email. For further information, please review our Privacy Policy

Categories
Loading Next Post...
Follow
Sign In/Sign Up Search Trending 0 Cart
Popular Now
Loading

Signing-in 3 seconds...

Signing-up 3 seconds...

Cart
Cart updating

ShopYour cart is currently is empty. You could visit our shop and start shopping.