YAJUE MAMBO 7 AMBAYO MARA CHACHE UTAAMBIWA AU KUYASIKIA KUHUSU NDOA/MAHUSIANO

3 years ago156 Views

YAMKINI ipo siku utaamka katikati ya usiku wa manane na kumtazama aliyelala pembeni yako (ambaye labda unamuita au anajiita mpenzi wako) na kujiuliza “hivi maisha haya na huyu mtu ndo hadi kifo kweli?”(ukitamani walau kuwepo na kaupenyo kakutokea).

Swali hili linasababishwa na aina ya maisha mnayoishi, yamkini penzi mlilokuwa nalo awali haulioni au wote hamlioni tena, imebaki kuonekana tu na watu wa nje kama mnaopendana kumbe ukweli ni kwamba mnaishi tu pamoja “not as lovers but as in mates”.

 SOMA ZAID HAPA

Join Us
  • Facebook38.5K
  • X Network32.1K
  • linkedin12.6k
  • youtube23.4k
  • Instagram18.9K
Mchanganyiko

Loading Next Post...
Follow
Sign In/Sign Up Search Trending 0 Cart
Popular Now
Loading

Signing-in 3 seconds...

Signing-up 3 seconds...

Cart
Cart updating

ShopYour cart is currently is empty. You could visit our shop and start shopping.