Kipa Djigui Diarra Afungiwa Michezo Mitatu

Masama BlogMATUKIOMICHEZOKITAIFA2 weeks ago52 Views

KIpa Djigui Diarra Afungiwa Michezo Mitatu na Faini ya Tsh Milioni 4
Kamati ya Uendeshaji na Usimamizi wa Ligi ya Bodi ya Ligi Kuu Tanzania (TPLB) imemfungia kipa wa Yanga, Djigui Diarra michezo mitatu na kumtoza faini ya Tsh. Milioni 2 kwa kosa la kumshambulia Mwamuzi wa kati wa mchezo kati ya #MtibwaSugar dhidi ya Yanga mnamo Machi 21, 2026, kwa mujibu wa Kanuni ya 41:5(5.3) ya Ligi Kuu.

Pia, mchezaji huyo ametozwa faini ya Tsh. Milioni 2 nyingine kwa kosa la kuonesha kidole cha kati wakati akitoka uwanjani baada ya kumalizika kwa mchezo huo, kitendo kilichoashiria ishara ya matusi na dharau, kwa mujibu wa Kanuni ya 41:5(5.4) ya Ligi Kuu kuhusu Udhibiti wa Wachezaji.

0 Votes: 0 Upvotes, 0 Downvotes (0 Points)

Join Us
  • Facebook38.5K
  • X Network32.1K
  • linkedin12.6k
  • youtube23.4k
  • Instagram18.9K
Mchanganyiko

Loading Next Post...
Follow
Sign In/Sign Up Search Trending 0 Cart
Popular Now
Loading

Signing-in 3 seconds...

Signing-up 3 seconds...

Cart
Cart updating

ShopYour cart is currently is empty. You could visit our shop and start shopping.