KIpa Djigui Diarra Afungiwa Michezo Mitatu na Faini ya Tsh Milioni 4
Kamati ya Uendeshaji na Usimamizi wa Ligi ya Bodi ya Ligi Kuu Tanzania (TPLB) imemfungia kipa wa Yanga, Djigui Diarra michezo mitatu na kumtoza faini ya Tsh. Milioni 2 kwa kosa la kumshambulia Mwamuzi wa kati wa mchezo kati ya #MtibwaSugar dhidi ya Yanga mnamo Machi 21, 2026, kwa mujibu wa Kanuni ya 41:5(5.3) ya Ligi Kuu.
Pia, mchezaji huyo ametozwa faini ya Tsh. Milioni 2 nyingine kwa kosa la kuonesha kidole cha kati wakati akitoka uwanjani baada ya kumalizika kwa mchezo huo, kitendo kilichoashiria ishara ya matusi na dharau, kwa mujibu wa Kanuni ya 41:5(5.4) ya Ligi Kuu kuhusu Udhibiti wa Wachezaji.
Recommended Products
-
2025 Summer Rapper Feid Ferxxo Men’s Cotton Fashion Hip-hop T-shirt Casual and Comfortable Short-sleeved T-shirt Street Wear
Affliate products $22.00 -
3 IN 1 Magnetic Folding Wireless Charger Station For IPhone Transparent Fast Charging For IWatch And Airpods
Affliate products -
Grandpa Of Love hoodies Human French Letters Dad Papa Papy Gift Men Clothing hoodies
Affliate products $22.00 -
Sale!
Lenovo D18 Drone 8K Aerial HD Dual-Camera Intelligent Obstacle Avoidance Brushless Power 5G WIFI Screen Remote Control GPS Drone
Affliate products Original price was: $7.99.$7.89Current price is: $7.89. -
Mini Portable Face Cordless Shavers Rechargeable USB Electric Shaver Wet & Dry Painless Small Size Machine Shaving For Men
Affliate products $44.00 -
New Original T75 Bone Conduction Wireless Bluetooth 5.3 Headphones Sports Earphones HiFi Sound Quality Waterproof TWS Headset
Affliate products $3.33






