Binti aliyefahamika kwa Jina la Rabia Poul (19) Mwanafunzi wa Kidato cha Nne katika Shule ya Sekondari Nyanza Mkazi wa Mtaa wa Barabara ya Msalala Manispaa ya Geita amefariki Dunia kwa kujinyonga February 11 Mwaka huu.
Akizungumza na Millardayo Kamanda wa Polisi Mkoa wa Geita , SACP. Safia Jongo amethibitisha kutokea kwa tukio hilo huku akisema chanzo cha kifo cha Mwanafunzi huyo ni kufeli Mtihani wa Kidato cha Nne.
“ Binti amejinyonga hadi kufa na tukio hili limetokea siku ya tarehe 11 mwezi wa pili 2025 na chanzo cha tukio hili Mwanafunzi huyo kugundua kwamba amefeli kidato cha nne kwa kupata Division 0 , “ SACP. Jongo.
Aidha SACP. Jongo ametoa wito kwa Wazazi na Wlezi kuwajua Watoto wao na kuwalea katika maadili ya kumpendeza Mwenyezi mungu huku akisema kuna baadhi ya Watoto wana vipaji wasizuiwe na waachwe kutokana labda wamefeli isiwe kigezo cha kukaripia Watoto.
Recommended Products
-
2025 Summer Rapper Feid Ferxxo Men’s Cotton Fashion Hip-hop T-shirt Casual and Comfortable Short-sleeved T-shirt Street Wear
Affliate products $22.00 -
3 IN 1 Magnetic Folding Wireless Charger Station For IPhone Transparent Fast Charging For IWatch And Airpods
Affliate products -
Grandpa Of Love hoodies Human French Letters Dad Papa Papy Gift Men Clothing hoodies
Affliate products $22.00 -
Sale!
Lenovo D18 Drone 8K Aerial HD Dual-Camera Intelligent Obstacle Avoidance Brushless Power 5G WIFI Screen Remote Control GPS Drone
Affliate products Original price was: $7.99.$7.89Current price is: $7.89. -
Mini Portable Face Cordless Shavers Rechargeable USB Electric Shaver Wet & Dry Painless Small Size Machine Shaving For Men
Affliate products $44.00 -
New Original T75 Bone Conduction Wireless Bluetooth 5.3 Headphones Sports Earphones HiFi Sound Quality Waterproof TWS Headset
Affliate products $3.33







