MPYAA: Mlinzi wa Kulia wa Yanga SC, Djuma Shabani Amejiunga na TP Mazembe

2 years ago124 Views

 Mlinzi wa Kulia Djuma Shabani amejiunga na Tp Mazembe ya nyumbani kwao DR Congo, ndoa ya Yanga SC na Djuma Shabani imevunjika bado taarifa tu .

Djuma hadi anasaini TP Mazemve hakukuwa na timu ya hapa nyumbani iliyokuwa na mahitaji na huduma yake kikubwa kikichangiwa na Kima cha mshahara wake kuwa kikubwa, kwa hivyo timu nyingi zimeogopa
Join Us
  • Facebook38.5K
  • X Network32.1K
  • linkedin12.6k
  • youtube23.4k
  • Instagram18.9K
Mchanganyiko

Loading Next Post...
Follow
Sign In/Sign Up Search Trending 0 Cart
Popular Now
Loading

Signing-in 3 seconds...

Signing-up 3 seconds...

Cart
Cart updating

ShopYour cart is currently is empty. You could visit our shop and start shopping.