Kylian Mbappe ‘Ukimshabikia Ronaldo Huwezi Kumjua Messi”

Admin Updates1 year ago7 Views

Mshambuliaji wa Klabu ya PSG, Kylian Mbappe amesema kuwa amekuwa shabiki wa Cristiano Ronaldo tangu akiwa mdogo hivyo kutokana na mapenzi yake kwa staa huyo, hakuwahi kuujua ubora wa Lionel Messi.

Mbappe (24) ambaye ni mchezaji wa Timu ya Taifa ya Ufaransa amekuwa akionyesha mahaba yake kwa Ronaldo wazi wazi lakini hata alipopata wasaa wa kucheza na Messi pale PSG misimu miwili iliyopita, hakuonyesha kumfagilia kabisa jamaa.

 

Join Us
  • Facebook38.5K
  • X Network32.1K
  • linkedin12.6k
  • youtube23.4k
  • Instagram18.9K
Mchanganyiko
Loading Next Post...
Follow
Sign In/Sign Up Search Trending
Popular Now
Loading

Signing-in 3 seconds...

Signing-up 3 seconds...