Katibu Mkuu UWT Ndg.Jokate Mwegelo Achangia Ujenzi wa Ofisi ya CCM na Katibu UWT Mbinga,Soma zaidi Hpa

2 years ago137 Views

 

Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Wanawake Tanzania (UWT) Cde. Jokate Mwegelo, amechangia kiasi cha Tsh Milioni 5 kwa ajili ya muendelezo wa Ujenzi wa Ofisi ya Chama Cha Mapinduzi  Wilaya ya Mbinga.

Vilevile , Cde. Jokate amechangia kiasi cha Tsh Milioni 2 kwa ajili ya ujenzi wa Nyumba ya Katibu wa Jumuiya ya Wanawake (UWT) Wilaya ya Mbinga.

Cde. Jokate amechangia michango hiyo alipokuwa Wilayani Mbinga Mkoani Ruvuma tarehe 15 Disemba, 2023.

Aidha, Cde. Jokate amehimiza kuendelea kuwa na umoja katika kufanikisha ukamilishwaji wa Ujenzi wa Ofisi na Nyumba hiyo kwani uwepo wa Ofisi utasaidia katika kufanya kazi kwa ufanisi katika ushirikiano wa ukaribu pamoja na utunzaji wa nyaraka katika hali ya usalama.
#UWTImara
#JeshiLaMamaSamia
#KaziIendelee

Join Us
  • Facebook38.5K
  • X Network32.1K
  • linkedin12.6k
  • youtube23.4k
  • Instagram18.9K
Mchanganyiko

Loading Next Post...
Follow
Sign In/Sign Up Search Trending 0 Cart
Popular Now
Loading

Signing-in 3 seconds...

Signing-up 3 seconds...

Cart
Cart updating

ShopYour cart is currently is empty. You could visit our shop and start shopping.