UMEONA HII?INSTAGRAM YAFUTA 18% YA AKAUNTI FEKI, JUSTIN BIEBER, KIM KARDASHIAN WAPOTEZA FOLLOWERS ZAIDI YA MILIONI 4.

Admin Updates10 years ago6 Views

Mtandao
wa Instagram wiki hii umewapa majonzi baadhi ya watumiaji wake baada ya
kufanya operation ya kufuta akaunti feki (spammy accounts ) na hivyo
kuathiri namba ya followers kwa watu wengi.


Asilimia 18.9 ya akaunti (fake) za Instagram zimefutwa kuanzia Jumatano hadi Alhamisi.

“We’ve been deactivating spammy accounts from Instagram on an ongoing
basis to improve your experience. As part of this effort, we will be
deleting these accounts forever, so they will no longer be included in
follower counts. This means that some of you will see a change in your
follower count.” Wameandika Instagram.

Mastaa wa nje waliokumbwa
na fagio hilo la followers ni pamoja na Justin Bieber ambaye amepoteza
mashabiki (fake) milioni 3.5 sawa na asilimia 15 ya followers wake wote.

Mwingine ni Kim Kardashian ambaye amepoteza followers milioni 1.3 au asilimia 5.5 ya followers wake wote.

Rapper Mase ameamua kujiondoa kabisa Instagram siku ya Alhamis, muda mfupi baada ya kupoteza followers milioni 1.5

0 Votes: 0 Upvotes, 0 Downvotes (0 Points)

Join Us
  • Facebook38.5K
  • X Network32.1K
  • linkedin12.6k
  • youtube23.4k
  • Instagram18.9K

Stay Informed With the Latest & Most Important News

I consent to receive newsletter via email. For further information, please review our Privacy Policy

Categories
Loading Next Post...
Follow
Sign In/Sign Up Search Trending 0 Cart
Popular Now
Loading

Signing-in 3 seconds...

Signing-up 3 seconds...

Cart
Cart updating

ShopYour cart is currently is empty. You could visit our shop and start shopping.