KWA WAPENDANAO TU, KAMA HUJUI IMEKULA KWAKO, UNAAMBIWA HAYA NDIO MAPENZI YA DHATI..SOMA HAPA

Admin Updates10 years ago6 Views


Nguli wa fasihi Tanzania alishawahi kuongelea mapenzi bora katika kitabu chake kiitwacho Mapenzi bora.

Nguli
huyu SHABAN ROBERT alihimiza sana swala la mapenzi bora hii ni kwa
sababu mapenzi bora huleta afya, mapenzi bora huleta amani ushilikiano
na upendo,mapenzi bora hujenga familia bora mno, mapenzi bora pia huwa
kinga ya magojwa, na mapenzi bora ni dawa na tiba.

Yapi ni mapenzi bora: 

1 Kupeana ushauri mwema wa mahusiano yenu, 
2 Kuulizana kipi mwenza wako anapenda na kipi hapendi, 
3 Kuliwazana pale kunapokuwa na huzuni (kuwa mfariji mwema), 
4 Kuepuka ugomvi usokuwa wa lazima, 
5 Kushilikiana katika kuleta maendeleo mema ya kifamilia na kijamii, 
6 Kuonesha upendo kwa dugu,jamaa,marafiki na watu wote wa karibu yenu, 
7 Ucha Mungu
Join Us
  • Facebook38.5K
  • X Network32.1K
  • linkedin12.6k
  • youtube23.4k
  • Instagram18.9K

Stay Informed With the Latest & Most Important News

I consent to receive newsletter via email. For further information, please review our Privacy Policy

Categories
Loading Next Post...
Follow
Sign In/Sign Up Search Trending 0 Cart
Popular Now
Loading

Signing-in 3 seconds...

Signing-up 3 seconds...

Cart
Cart updating

ShopYour cart is currently is empty. You could visit our shop and start shopping.