Mwanamziki kutoka
Kenta Jaguar ambaye ni moja kati ya mastaa kenya wanaoingia kwenye list
ya mastaa tajiri sana licha ya kuwa na utajiri huo bado anafanya mziki.

Kuna baadhi ya watu
wanasema kwamba ameanza kuwekeza ndani ya Afrika Kusini japo yeye
mwenyewe hajathibitisha kauli hiyo, Kingine ni kwamba kama utakuwa
mfuatiliaji mzuri wa habari zetu basi utakuwa unajua kuhusu yeye
kumilika gari aina ya Jaguar XJ series ambapo moja lenye thamani ya
shilingi Million 320 za kitanzania.
Miezi miwili iliyopita
alinunua gari aina ya Range Rover Sport 2014. ambapo kwa sasa ameweka
costomize plate kama ilivyo kwa msanii Diamond Platnumz hapa bongo
ushahidi huu hapa chini