Naibu Waziri David Kihenzile amwakilisha Profesa Mbarawa Mahafali ya 39 ya Chuo cha NIT

Admin Updates1 year ago6 Views

 

Naibu Waziri wa Uchukuzi Mhe David Mwakiposa Kihenzile amehudhuria mahafali ya 39 ya Chuo cha Taifa cha Usafirishaji yaliyofanyika wiki iliyopita jijini Dar es Salaam ambapo Mgeni rasmi alikuwa Rais Mstaafu Mhe. Jakaya Kikwete.

Mahafali hayo yamefanyika sambamba na uzinduzi wa kitabu kilichoeleza historia ya Chuo hicho.

Akiongea Katika Mahafali hayo Naibu Waziri David Kihenzile alisema:

Nimetoa Salam za Serikali kwa niaba ya Waziri wa Uchukuzi Mh Profesa Makame Mbarawa nikieleza uwekezaji mkubwa uliofanywa na Serikali ya awamu ya Sita Chini ya Rais wetu Mhe.Samia Suluhu Hassan  na kuwaahidi wanajumuia ya Chuo hicho na watanzania kwamba Wizara yetu itaendelea kutenga fedha kila mwaka ili kukiweezesha kutoa wataalam waliobobea katika Eneo la Uchukuzi.

Rai ya Mgeni Rasmi Mhe. Jakaya Kikwete katika mahafali ya NIT ni juu ya Uongozi wa Baraza la Chuo pamoja na maboresho yanayofanywa na Uongozi uzingatie Msingi wa kuanzishwa ikiwemo kuzalisha wataalam wa astashahada na stashada katika uchukuzi

Join Us
  • Facebook38.5K
  • X Network32.1K
  • linkedin12.6k
  • youtube23.4k
  • Instagram18.9K

Stay Informed With the Latest & Most Important News

I consent to receive newsletter via email. For further information, please review our Privacy Policy

Categories
Loading Next Post...
Follow
Sign In/Sign Up Search Trending 0 Cart
Popular Now
Loading

Signing-in 3 seconds...

Signing-up 3 seconds...

Cart
Cart updating

ShopYour cart is currently is empty. You could visit our shop and start shopping.