MPENZI MPYA WA LADY JAY DEE KUMBE PIA NI PRODUCER HUKO NIGERIA??..SOMA ZAIDI HAPA

9 years ago123 Views

Mbali ya mpenzi mpya wa Lady Jaydee, Spicy kuwa muimbaji lakini pia ni mtayarishaji mkubwa wa muziki nchini Nigeria na tayari ameshafanya kazi na mastaa wakubwa wa nchini humo.
Muimbaji huyo wa Nigeria ameiambia Bongo5 kuwa ameshatayarisha nyimbo kibao za Mr. Flavour na kushiriki kuandika kwenye nyimbo zake ikiwemo ‘Ashawo’ ambao video yake ilitoka mwaka 2011.
“Ololufe by Mr Flavour and Chidinma I did the production, most of Flavour songs. ‘Ashawo’ I produced with him because he produces as well, so we co-produced together,” amesema Spicy.
“I write for myself, we write together with Flavour, most of songs we write and other member of Tonight Entertaiment guys. But most of a time I write for myself,” aliongeza.

Hata wimbo wa ‘Together’ Spicy ameuandika na kuutayarisha mwenyewe japo kwenye verse ya Jaydee alilazimika kuzitafsiri na kuimba kwa lugha ya Kiswahili.
Join Us
  • Facebook38.5K
  • X Network32.1K
  • linkedin12.6k
  • youtube23.4k
  • Instagram18.9K
Mchanganyiko

Loading Next Post...
Follow
Sign In/Sign Up Search Trending 0 Cart
Popular Now
Loading

Signing-in 3 seconds...

Signing-up 3 seconds...

Cart
Cart updating

ShopYour cart is currently is empty. You could visit our shop and start shopping.