
Mbali ya mpenzi mpya wa Lady Jaydee, Spicy kuwa muimbaji lakini pia ni mtayarishaji mkubwa wa muziki nchini Nigeria na tayari ameshafanya kazi na mastaa wakubwa wa nchini humo.
Muimbaji huyo wa Nigeria ameiambia Bongo5 kuwa ameshatayarisha nyimbo kibao za Mr. Flavour na kushiriki kuandika kwenye nyimbo zake ikiwemo ‘Ashawo’ ambao video yake ilitoka mwaka 2011.
“Ololufe by Mr Flavour and Chidinma I did the production, most of Flavour songs. ‘Ashawo’ I produced with him because he produces as well, so we co-produced together,” amesema Spicy.
“I write for myself, we write together with Flavour, most of songs we write and other member of Tonight Entertaiment guys. But most of a time I write for myself,” aliongeza.
Hata wimbo wa ‘Together’ Spicy ameuandika na kuutayarisha mwenyewe japo kwenye verse ya Jaydee alilazimika kuzitafsiri na kuimba kwa lugha ya Kiswahili.
Recommended Products
-
2025 Summer Rapper Feid Ferxxo Men’s Cotton Fashion Hip-hop T-shirt Casual and Comfortable Short-sleeved T-shirt Street Wear
Affliate products $22.00 -
3 IN 1 Magnetic Folding Wireless Charger Station For IPhone Transparent Fast Charging For IWatch And Airpods
Affliate products -
Grandpa Of Love hoodies Human French Letters Dad Papa Papy Gift Men Clothing hoodies
Affliate products $22.00 -
Sale!
Lenovo D18 Drone 8K Aerial HD Dual-Camera Intelligent Obstacle Avoidance Brushless Power 5G WIFI Screen Remote Control GPS Drone
Affliate products Original price was: $7.99.$7.89Current price is: $7.89. -
Mini Portable Face Cordless Shavers Rechargeable USB Electric Shaver Wet & Dry Painless Small Size Machine Shaving For Men
Affliate products $44.00 -
New Original T75 Bone Conduction Wireless Bluetooth 5.3 Headphones Sports Earphones HiFi Sound Quality Waterproof TWS Headset
Affliate products $3.33





