BREAKING NEWS:MAGARI MAWILI YAGONGANA BUKOBA,YASABABISHA VIFO

7 years ago95 Views

Ajali mbaya imetokea usiku huu katika manispaa ya Bukoba kata ya Hamugembe Mkoani kagera ikihusisha magari mawili Toyota hiace T-869 CHT na fuso T-223 ATK yamegongana na kusababisha moto kulipuka ambao umepelekea abiria waliokuwemo kwenye magari Hayo kuungua vibaya. Kamanda wa polisi mkoani Kagera Revocatus Malimi amesema tayari wameokoa maiti nne kutoka kwenye ajali hiyo. Matukio katika picha

Source

from Habari 360 | Habari mpya za Tanzania http://bit.ly/2SkyFg0
via

Join Us
  • Facebook38.5K
  • X Network32.1K
  • linkedin12.6k
  • youtube23.4k
  • Instagram18.9K
Mchanganyiko

Loading Next Post...
Follow
Sign In/Sign Up Search Trending 0 Cart
Popular Now
Loading

Signing-in 3 seconds...

Signing-up 3 seconds...

Cart
Cart updating

ShopYour cart is currently is empty. You could visit our shop and start shopping.