MANCHESTER CITY YATWAA UBINGWA WA LIGI KUU YA UINGEREZA

6 years ago107 Views


Klabu ya Manchester City imefanikiwa kutwaa ubingwa wa Ligi Kuu Soka nchini humo baada ya leo kuifunga klabu ya Brighton goli 4-1 na kufikisha alama 98.

Man City inachukua ubingwa huo huku Liverpool iliyokuwa inaipa ushindani mkubwa inamaliza nafasi ya pili baada ya leo kuifunga klabu ya Wolves goli 2-0 na kufikisha alama 97

Man City imetetea kombe hilo baada ya msimu uliopita kuwa mabingwa na hili ni kombe lao la nne ndani ya kipindi cha misimu 8 iliyopita

Nafasi ya 3 imechukuliwa na Chelsea yenye alama 72, nafasi ya 4 imechukuliwa na Tottenham yenye alama 71, Arsenal imechukua nafasi ya 5 baada ya kupata alama 70 huku Manchester United ikiwa nafasi ya 6 na alama 66

Kwa msimamo huo, vilabu vya Manchester City, Liverpool, Chelsea na Tottenham vimekata tiketi ya kushiriki michuano ya Klabu Bingwa Ulaya kwa msimu wa 2019/2020

from MICHUZI BLOG http://bit.ly/2YnSWQm
via

Join Us
  • Facebook38.5K
  • X Network32.1K
  • linkedin12.6k
  • youtube23.4k
  • Instagram18.9K
Mchanganyiko

Loading Next Post...
Follow
Sign In/Sign Up Search Trending 0 Cart
Popular Now
Loading

Signing-in 3 seconds...

Signing-up 3 seconds...

Cart
Cart updating

ShopYour cart is currently is empty. You could visit our shop and start shopping.