

Man City imetetea kombe hilo baada ya msimu uliopita kuwa mabingwa na hili ni kombe lao la nne ndani ya kipindi cha misimu 8 iliyopita
Nafasi ya 3 imechukuliwa na Chelsea yenye alama 72, nafasi ya 4 imechukuliwa na Tottenham yenye alama 71, Arsenal imechukua nafasi ya 5 baada ya kupata alama 70 huku Manchester United ikiwa nafasi ya 6 na alama 66
Kwa msimamo huo, vilabu vya Manchester City, Liverpool, Chelsea na Tottenham vimekata tiketi ya kushiriki michuano ya Klabu Bingwa Ulaya kwa msimu wa 2019/2020
from MICHUZI BLOG http://bit.ly/2YnSWQm
via






