- Home
-
- Jionee Baadhi ya Kazi zilizofanywa na TARURA chini ya Mtendaji mkuu Mhandisi Victor Seff
Jionee Baadhi ya Kazi zilizofanywa na TARURA chini ya Mtendaji mkuu Mhandisi Victor Seff

Mtendaji
Mkuu wa Wakala wa Barabara za Minini na Vijiji ni (TARURA) Mhandisi Victor Seff amesema Wakala Hiyo
inaendelea na kazi za matengenezo na ufunguaji wa Barabara Mpya kadri
inavyoweza kwani ni moja ya Malengo yake kwa mwaka huu wa Fedha wa 2024/2025
kama ilivyokuwa mwaka jana wa fedha wa 2023/2024 na miaka ya nyuma .

Aidha Mhandisi Seff amesema kazi za ujaenzi zinaendelea Mikoa mbalimbali kazi zinaendelea ikiwa ni moja ya utekelezaji wa Maelekezo ya Serikali ya awamu ya Sita Chini ya Mhe Rais Dkt. Samia Sauluhu Hassan ya kuhakikisha wananchi wanaboreshewa miundombinu ili waweze kujikwamua kiuchumi kwa kuongeza kasi ya maendeleo.
0 Votes: 0 Upvotes, 0 Downvotes (0 Points)
Stay Informed With the Latest & Most Important News