Mtendaji
Mkuu wa Wakala wa Barabara za Minini na Vijiji ni (TARURA) Mhandisi Victor Seff amesema Wakala Hiyo
inaendelea na kazi za matengenezo na ufunguaji wa Barabara Mpya kadri
inavyoweza kwani ni moja ya Malengo yake kwa mwaka huu wa Fedha wa 2024/2025
kama ilivyokuwa mwaka jana wa fedha wa 2023/2024 na miaka ya nyuma .
Aidha Mhandisi Seff amesema kazi za ujaenzi zinaendelea Mikoa mbalimbali kazi zinaendelea ikiwa ni moja ya utekelezaji wa Maelekezo ya Serikali ya awamu ya Sita Chini ya Mhe Rais Dkt. Samia Sauluhu Hassan ya kuhakikisha wananchi wanaboreshewa miundombinu ili waweze kujikwamua kiuchumi kwa kuongeza kasi ya maendeleo.
Recommended Products
-
2025 Summer Rapper Feid Ferxxo Men’s Cotton Fashion Hip-hop T-shirt Casual and Comfortable Short-sleeved T-shirt Street Wear
Affliate products $22.00 -
3 IN 1 Magnetic Folding Wireless Charger Station For IPhone Transparent Fast Charging For IWatch And Airpods
Affliate products -
Grandpa Of Love hoodies Human French Letters Dad Papa Papy Gift Men Clothing hoodies
Affliate products $22.00 -
Sale!
Lenovo D18 Drone 8K Aerial HD Dual-Camera Intelligent Obstacle Avoidance Brushless Power 5G WIFI Screen Remote Control GPS Drone
Affliate products Original price was: $7.99.$7.89Current price is: $7.89. -
Mini Portable Face Cordless Shavers Rechargeable USB Electric Shaver Wet & Dry Painless Small Size Machine Shaving For Men
Affliate products $44.00 -
New Original T75 Bone Conduction Wireless Bluetooth 5.3 Headphones Sports Earphones HiFi Sound Quality Waterproof TWS Headset
Affliate products $3.33
















