YEMI ALADE NA KITAULO! ASHUTUMIWA VIKALI MTANDAONI…

Admin Updates8 years ago6 Views

Mwanamuziki wa Nigeria, Yemi Alade.
Lagos, Nigeria
IMEKUWA mtindo kwa mastaa weusi kujichubua ngozi zao na kuzifanya nyeupe. Mmoja wa wanamuziki wa Nigeria, Yemi Alade, amejikuta akisakamwa na shabiki mmoja kwa kutumia mkorogo.

Yemi Alade.
Alipotuma katika mtandao wa Twitter picha mbili za mwanamuziki huyo aliyevuma kwa wimbo wake wa ‘Johnny’ – picha moja ikimwonyesha alipoanza kujikita katika muziki zamani na picha ya sasa ambayo amekuwa mweupe.
Picha hizo zilitumwa Mei 18 mwaka huu.

Join Us
  • Facebook38.5K
  • X Network32.1K
  • linkedin12.6k
  • youtube23.4k
  • Instagram18.9K

Stay Informed With the Latest & Most Important News

I consent to receive newsletter via email. For further information, please review our Privacy Policy

Categories
Loading Next Post...
Follow
Sign In/Sign Up Search Trending 0 Cart
Popular Now
Loading

Signing-in 3 seconds...

Signing-up 3 seconds...

Cart
Cart updating

ShopYour cart is currently is empty. You could visit our shop and start shopping.