Yanga Yarejea Kileleni Kwa Kishindo, Yamchapa KenGold 6

1 year ago144 Views

 

Yanga imerejea katika usukani wa Ligi Kuu Tanzania Bara kwa kishindo baada ya kuifunga Timu ya KenGold kwa Magoli 6-1 kwenye Uwanja wa KMC, hivyo kuongoza msimao wa Ligi kwa kufikisha alama 45
Magoli ya #Yanga yamefungwa na Prince Dube dakika ya 1 na 46, Clement Mzize (5 na 42), Pacome Zouzoua (38) na Duke Abuya (85) wakati lile la #KenGoldFC mfungaji ni Selemani Bwenzi (86) aliyefunga kwa kupiga shuti kutoka katikati ya uwanja
Yanga imecheza michezo 17 imeishusha Simba yenye alama 43 ikiwa na michezo 16, wakati KenGold imebaki mkiani ikiwa na alama 6 katika michezo 17
Join Us
  • Facebook38.5K
  • X Network32.1K
  • linkedin12.6k
  • youtube23.4k
  • Instagram18.9K
Mchanganyiko

Loading Next Post...
Follow
Sign In/Sign Up Search Trending 0 Cart
Popular Now
Loading

Signing-in 3 seconds...

Signing-up 3 seconds...

Cart
Cart updating

ShopYour cart is currently is empty. You could visit our shop and start shopping.