Yanga Noma Sana Yapanda Dau Kwa Clement Mzize, Waterford na Azam Walie tu

2 years ago121 Views

 

Klabu ya Yanga imefanikiwa kumuongezea Mkataba Mpya Mshambuliaji wao mwenye Umri wa Miaka 20 Clement Mzize kwaajili ya kuendelea kusalia klabuni hapo.

.
Kwa Mujibu wa Chanzo Changu ni kuwa Mzize amekubali kusaini mkataba wa miaka 3️⃣ huku kukiwa na Maboresho makubwa kwenye mkataba huo mpya ikiwepo Mshahara.
.
Hakuna Nafasi Tena Kwa Azam Kumpata Mzize.
.
Rais Wa Yanga Eng. Hersi ame Play Part kubwa kumshawishi Mzize kusaini Mkataba Mpya.
.
MZIZE TO AZAM ❌
Join Us
  • Facebook38.5K
  • X Network32.1K
  • linkedin12.6k
  • youtube23.4k
  • Instagram18.9K
Mchanganyiko

Loading Next Post...
Follow
Sign In/Sign Up Search Trending 0 Cart
Popular Now
Loading

Signing-in 3 seconds...

Signing-up 3 seconds...

Cart
Cart updating

ShopYour cart is currently is empty. You could visit our shop and start shopping.