WAFANYABIASHARA WALIOWEZESHWA NA BENKI YA CRDB KWENDA CHINA WAREJEA NCHINI, WAELEZA FURSA WALIZOZIONA

Special Correspondent6 years ago5 Views

Baadhi ya wafanyabiashara waliopata fursa ya kuhudhuria maonyesho ya kibiashara yaliyoambatana na mafunzo ya uwekezaji katika sekta ya kilimo nchini China ambao waliwezeshwa safari yao na Benki ya CRDB kwa ushirikiano na Chemba ya Biashara, Viwanda na Kilimo (TCCIA) wakiwa katika uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere, jijini Dar es salaam walioporejea nchini baada ya kutembelea viwanda mbalimbali vya nchini China kwa mafunzo. Jumla ya wafanyabiasahara 60 kutoka maeneo mbalimbali nchini walihuhudhulia mafunzo hayo ya siku kumi (10) yatakayo wawezesha kutanua mtandao na kufungua soko jipya la kibiashara baina yao na wale wa kutoka China.
Mmoja wa viongozi wa safari hiyo ambaye pia ni Mwenyekiti wa Chemba ya Biashara, Viwanda na Kilimo (TCCIA), Francis Lukwaro akizungumza na waandishi wa habari juu ya fursa za kibiashara walizoziona nchini China ambazo wameahidi kuzifanyia kazi hapa nchini.

Afisa Mahusiano wa Benki ya CRDB, Agnes Ngalo akizungumzia na waandhishi wa habari muda mfupi baada ya kurejea nchini wakitokea China, walikokwenda pamoja na wafanyabiasha hao kuhudhulia maonyesho ya kibiashara yaliyoambatana na mafunzo ya uwekezaji katika sekta ya kilimo nchini China ambao waliwezeshwa safari yao na Benki ya CRDB kwa ushirikiano na Chemba ya Biashara, Viwanda na Kilimo (TCCIA) 

from MICHUZI BLOG http://bit.ly/2GBfDKI
via

Join Us
  • Facebook38.5K
  • X Network32.1K
  • linkedin12.6k
  • youtube23.4k
  • Instagram18.9K

Stay Informed With the Latest & Most Important News

I consent to receive newsletter via email. For further information, please review our Privacy Policy

Categories
Loading Next Post...
Follow
Sign In/Sign Up Search Trending 0 Cart
Popular Now
Loading

Signing-in 3 seconds...

Signing-up 3 seconds...

Cart
Cart updating

ShopYour cart is currently is empty. You could visit our shop and start shopping.