TOP 7 YA VITU AMBAVYO KILA MWANAUME WA KITANZANIA ANAHITAJI KUVIELEWA KUHUSU MWILI WA MSICHANA

Admin Updates8 years ago6 Views

Wanaume wa Tanzania sikilizeni na sikilizeni kwa makini sana.
Kuna vitu ambavyo unahitajika kuvifahamu kuhusu mwili wa mwanamke ili kukusaidia kuepusha bifu lolote na mpenzi wako,kwa hiyo wewe soma hapa tu hivi vitu vya muhimu sana navyoenda kukuandikia hapa chini kuhusu tendo la ndoa na mapenzi kwa ujumla na utatushukuru baadaye baada ya kutumia hizo mbinu muhimu,na kumuelewa mpenzi wako hasa tabia pamoja na maumbile yake

1.]WANAWAKE WANACHUKUA MUDA MREFU SANA ILI KUPATA MHEMUKO WA KIMAHABA.

2.]WAKO MAKINI SANA LINAPOKUJA SWALA LAO LA “MWEZI”.

3.]WANAMAUMIVU YA MISULI YA TUMBO KARIBU KILA MWEZI.

4.]WANAJAMBA SANA KULIKO WANAUME.

5.]WAKO KATIKA MAUMBILE TOFAUTI TOFAUTI YA “IKULU” KAMA SISI WANAUME TULIVYO.

6.]WANAPENDA SANA KUKUMBATIWA.

7.]WANAFIKA KILELENI MARA NYINGI KWA WAKATI MMOJA.

Join Us
  • Facebook38.5K
  • X Network32.1K
  • linkedin12.6k
  • youtube23.4k
  • Instagram18.9K

Stay Informed With the Latest & Most Important News

I consent to receive newsletter via email. For further information, please review our Privacy Policy

Categories
Loading Next Post...
Follow
Sign In/Sign Up Search Trending 0 Cart
Popular Now
Loading

Signing-in 3 seconds...

Signing-up 3 seconds...

Cart
Cart updating

ShopYour cart is currently is empty. You could visit our shop and start shopping.