Timu ya Taifa ya Hispania Yatwaa Ubingwa EURO 2024, Yaichapa England 2-1

Admin Updates10 months ago6 Views

 Timu ya Hispania Yatwaa Ubingwa EURO 2024, Yaichapa England

Timu ya Taifa ya Uhispania imeweka rekodi ya kuwa timu iliyotwaa Ubingwa wa #UEFAEuro mara nyingi zaidi (mara 4) baada ya kuifunga England magoli 2-1 katika mchezo wa Fainali ya #UEFAEuro2024
Nico Williams alianza kuifungia Uhispania dakika ya 47, Cole Palmer akasawazisha dakika ya 73 kisha Mikel Oyarzabal akafunga goli la ushindi katika dakika ya 86
Matokeo hayo ni mwendelezo wa matokeo mabaya kwa England katika Fainali za michuano hiyo kwa kuwa ilipoteza pia Fainali zilizopita za Mwaka 2020 kwa kufungwa na Italia kwa penati
Join Us
  • Facebook38.5K
  • X Network32.1K
  • linkedin12.6k
  • youtube23.4k
  • Instagram18.9K

Stay Informed With the Latest & Most Important News

I consent to receive newsletter via email. For further information, please review our Privacy Policy

Categories
Loading Next Post...
Follow
Sign In/Sign Up Search Trending 0 Cart
Popular Now
Loading

Signing-in 3 seconds...

Signing-up 3 seconds...

Cart
Cart updating

ShopYour cart is currently is empty. You could visit our shop and start shopping.